ETI KWELI HUYU NDO MWANAMKE AMBAYE SINTAH ANAMWONA NI TAJIRI NA SI MANGE KIMAMBI!?? SOMA ZAIDI ALICHOKISEMA SINTAH???
![]() |
kudadadadeki mmmmh haaa angekuwa mwanafulenge
ktk hii stage mamaaaa sisemi ila haya maisha hayagusiii hata robo sijamtaja mtu mjuwe eeeeh |
![]() |
simple Zari |
![]() |
nadhani unalijuwa aina ya gari hapa bongo analo naniiiiii?? my sweet lovie Delina ze don asiyejionyesha |
![]() |
ooooh lovely |
![]() |
haaaaa watu hawazungumzi wanatenda bana kudadadeki hotel ya zari inakuja +256 |
![]() |
watu wenye mikwanja yao huwa hawaongei sanaaaa ni vitendo tuuu |
![]() |
huyu ndiye Diva wa EA wengine tubaki tukiongea tu yeye anaonyesha matendo |
![]() |
the bosslady |
![]() |
amechoka kuhama hama ktk nyumba zake hii anakodisha na full furnished apartment |
![]() |
haaaaaaa nyumba ya kijijini kwao ngoja niseme full stop ngoja niweke mshangao? kwa wale wanaojiita wanapesa aiiiii wewe pesa ipo huku kwa Mrs Ivan Semwaga utajibebaaaa |
Muacheni Mungu aitwe Mungu jamanii?? hivi wengine tunao wajua sisi wangekuwa na maisha haya ingekuwajeee?? aisee Mungu anajua nani ampe na nani amnyime basiii inatoshaaa,,,,, basi uache kuwaumiza watu kwani wenye vijiba vya roho wanakomajeee?
Ms Zari hauna mpinzani ujue wengine ni hashuo tu i cant wait ukija Dar utaendelea kuw boss Lady na hakunaga East Africa
je umeshawahi kumuona Zari akimuanika mumewe hovyo??NO,,,,, watoto?NO
basi juwa masikini akipata matako hulia mbwataaaaaaaaaaa.
Tunaongea na mwenye mbwa na hatuongei na mbwa kama wewe unalishwa sie wa nini?? tunaongea na hustla n the street
Comments
Post a Comment